DIBAJI
Tunanza kitabu na Basmala; jina lake Allah ndio lenye ulinzi bora
Zawadi zake hazina kipimo; Ni mwengi wa rehema na Anapenda
sana kuwaondolea waja madhambi na kuwasamehe.
Allahu ta’ala watu wote waliopo ardhini anawafungulia milango
ya kutafuta...
More
DIBAJI
Tunanza kitabu na Basmala; jina lake Allah ndio lenye ulinzi bora
Zawadi zake hazina kipimo; Ni mwengi wa rehema na Anapenda
sana kuwaondolea waja madhambi na kuwasamehe.
Allahu ta’ala watu wote waliopo ardhini anawafungulia milango
ya kutafuta kile watakacho. Ameumba vitu venye faida na kuvituma
au kuteremsha kwa kila mtu. Na Anawaongoza nakupata furaha ya
kudumu. Na vile vile Anawaongoza Atakao kwenye njia sahihi
miongoni mwa wale watu ambao waliacha njia sahihi (siaratwalmustakim)
wakakufuru kwasababu ya kudanganywa na nafsi zao
potofu au makundi mabaya au vitabu vyenye madhara makubwa au
vyombo vya habari badae wakatubu. Na Anawaokoa kutoka
kwenye kuangamia kwa milele. Hawateremshie neema Zake wale
wenye jeuri ya kupindukia Anawaacha kuendelea kuishi ndani ya
upotofu wanaopenda na kuridhia. Siku ya mwisho(kiyama)
Atawasamehe wale Atakaopenda miongoni mwa waumini
watakaokuwa wanafaa kuingi moto(jahannam) na Atawaingiza
pepo(jana). Yeye pekee ndie muumbaji wak
Less