Disemba 2012 - no.
27
Mpendwa Rafiki, Dear friend,
Je, wewe na familia yako hamjambo ? Ni
tegemeo letu kuwa wote mko wazima na
wenye afya njema.
Katika Jarida hili tutashiriki pamoja taarifa
muhimu kuhusu shughuli za Jamii ya
Kimataifa katika mapambano...
More
Disemba 2012 - no.
27
Mpendwa Rafiki, Dear friend,
Je, wewe na familia yako hamjambo ? Ni
tegemeo letu kuwa wote mko wazima na
wenye afya njema.
Katika Jarida hili tutashiriki pamoja taarifa
muhimu kuhusu shughuli za Jamii ya
Kimataifa katika mapambano dhidi ya
umaskini uliokithiri.
Pia tutakufahamisha jinsi
tulivyoanza mchakato na taratibu za mipango
ambayo kwa sasa tunaishughulikia.
Kwanza tunapenda kukumbusha kuwa
mwezi Oktoba, hapa Dar es Salaam na
sehemu nyingine za Tanzania na duniani
kote, tulisherehekea Siku ya Kuushinda
Umaskini Uliokithiri Duniani.
Ilikuwa ni fursa
kwa watu wengi wanaoishi katika umaskini
uliokithiri kuelezea juu ya maisha yao na
ahadi zao.
Maelezo hapa chini ni ya Mzee
Kedimondi Mgale aliyeshiriki sherehe hii ya
Oktoba 17 katika kijiji cha Lulanzi karibu na
Kibaha (Dar es Salaam).
How are you ? How is your family ? We hope
everybody is fine and in good health.
In this Newsletter we will share with you
important news concerning the commitment
of the i
Less